Zaburi 77:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Njia yako ilikuwa baharini,+Nalo pito lako lilikuwa katika maji mengi;Nazo nyayo zako hazikupata kujulikana. Waroma 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!
19 Njia yako ilikuwa baharini,+Nalo pito lako lilikuwa katika maji mengi;Nazo nyayo zako hazikupata kujulikana.
33 Lo! Jinsi kilivyo kina cha utajiri+ wa Mungu na hekima+ na ujuzi!+ Jinsi hukumu+ zake zisivyochunguzika na njia zake zisivyotafutika!