Mambo ya Walawi 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 ndipo mimi, naam, mimi nitatembea kwa kuwapinga;+ nami, naam, mimi nitawapiga mara saba kwa sababu ya dhambi zenu.+ Ezekieli 36:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami nikawatawanya katikati ya mataifa, hivi kwamba wakasambaa katika nchi mbalimbali.+ Niliwahukumu kulingana na njia yao na kulingana na matendo yao.+
24 ndipo mimi, naam, mimi nitatembea kwa kuwapinga;+ nami, naam, mimi nitawapiga mara saba kwa sababu ya dhambi zenu.+
19 Nami nikawatawanya katikati ya mataifa, hivi kwamba wakasambaa katika nchi mbalimbali.+ Niliwahukumu kulingana na njia yao na kulingana na matendo yao.+