Ayubu 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye ni mwenye hekima moyoni na mwenye nguvu katika uwezo.+Ni nani anayeweza kumwonyesha ukaidi naye atoke bila madhara?+ Zaburi 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa mtu anayebaki safi utakuwa safi;+Na kwa mpotovu utakuwa mwenye hila;+
4 Yeye ni mwenye hekima moyoni na mwenye nguvu katika uwezo.+Ni nani anayeweza kumwonyesha ukaidi naye atoke bila madhara?+