Danieli 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+ Mathayo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Wenye furaha ni wale walio safi moyoni,+ kwa kuwa watamwona Mungu.+
10 Wengi watajitakasa+ na kujifanya weupe+ na kusafishwa.+ Na waovu watatenda kwa uovu,+ wala hakuna waovu wowote watakaoelewa;+ bali wale walio na ufahamu wataelewa.+