Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ikiwa watu wako waliotawanywa watakuwa kwenye mwisho wa mbingu, kutoka huko Yehova Mungu wako atakukusanya na kutoka huko atakuchukua.+

  • Isaya 49:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini Yehova amesema hivi: “Hata kundi la mateka la mwanamume mwenye nguvu litachukuliwa,+ na wale waliokwisha kuchukuliwa na mwonevu wataponyoka.+ Nami nitashindana na mtu yeyote anayeshindana nawe,+ nami nitawaokoa wana wako.+

  • Yeremia 23:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nami nitakusanya mabaki ya kondoo zangu kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye uwanja wao wa malisho,+ na hakika wao watazaa na kuwa wengi.+

  • Yeremia 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana, “tazama! siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitawakusanya mateka wa watu wangu, Israeli na Yuda,”+ Yehova amesema, “nami nitawarudisha katika nchi niliyowapa mababu zao, nao hakika wataimiliki tena.”’”+

  • Ezekieli 39:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “ ‘Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao, nitakapowapeleka uhamishoni kwa mataifa na kwa kweli niwarudishe pamoja kwenye nchi yao,+ hivi kwamba sitamwacha yeyote kati yao abaki huko.+

  • Yoeli 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Kwa maana, tazama! siku hizo na wakati huo,+ nitakapowarudisha mateka wa Yuda na Yerusalemu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki