27 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba mzigo wake utaondoka juu ya bega lako,+ na nira yake itaondoka juu ya shingo yako,+ na nira hakika itavunjwa+ kwa sababu ya mafuta.”
10 “Kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Kupatana na kutimia kwa miaka 70 katika Babiloni nitawakazia ninyi fikira,+ nami nitawatimizia neno langu jema kwa kuwarudisha tena mahali hapa.’+
34 Mkombozi wao ni mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka ataendesha kesi yao,+ ili aipe nchi utulivu+ na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+