Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 10:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba mzigo wake utaondoka juu ya bega lako,+ na nira yake itaondoka juu ya shingo yako,+ na nira hakika itavunjwa+ kwa sababu ya mafuta.”

  • Isaya 52:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Jitikise uwe huru kutoka mavumbini,+ simama, chukua kiti, Ee Yerusalemu. Jifungue pingu za shingo yako, Ee binti Sayuni uliye mateka.+

  • Yeremia 29:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Kwa maana Yehova amesema hivi, ‘Kupatana na kutimia kwa miaka 70 katika Babiloni nitawakazia ninyi fikira,+ nami nitawatimizia neno langu jema kwa kuwarudisha tena mahali hapa.’+

  • Yeremia 50:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mkombozi wao ni mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka ataendesha kesi yao,+ ili aipe nchi utulivu+ na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+

  • Zekaria 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Nawe pia, Ee mwanamke, nitawatoa wafungwa+ wako kutoka katika shimo ambalo halina maji kwa kutumia damu ya agano+ lako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki