Isaya 51:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Yeye anayeinama katika minyororo hakika atafunguliwa haraka,+ ili asiende katika kifo shimoni+ na ili mkate wake usikosekane.+ Luka 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Roho ya Yehova+ iko juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuwatangazia maskini habari njema, alinituma kuhubiri kuachiliwa huru kwa mateka na kupata kuona tena kwa vipofu, kuacha waliopondeka waende zao wakiwa wameachiliwa huru,+
14 “Yeye anayeinama katika minyororo hakika atafunguliwa haraka,+ ili asiende katika kifo shimoni+ na ili mkate wake usikosekane.+
18 “Roho ya Yehova+ iko juu yangu, kwa sababu alinitia mafuta kuwatangazia maskini habari njema, alinituma kuhubiri kuachiliwa huru kwa mateka na kupata kuona tena kwa vipofu, kuacha waliopondeka waende zao wakiwa wameachiliwa huru,+