3 Yeyote aliye katikati yenu ninyi watu wake wote, Mungu wake na awe pamoja naye.+ Basi na apande na kwenda Yerusalemu, huko Yuda, na kuijenga upya nyumba ya Yehova Mungu wa Israeli—yeye ndiye Mungu wa kweli+—iliyokuwa Yerusalemu.+
20 Tokeni katika Babiloni!+ Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo.+ Tangazeni kwa sauti ya vigelegele vya shangwe, fanyeni hili lisikiwe.+ Lifanyeni liende mpaka mwisho wa dunia.+ Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+