Yeremia 31:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sikieni neno la Yehova, enyi mataifa, na kulitangaza kati ya visiwa vilivyo mbali,+ na kusema: “Yeye anayemtawanya Israeli atamkusanya pamoja,+ na hakika yeye atamweka kama mchungaji anavyoliweka kundi lake.+
10 Sikieni neno la Yehova, enyi mataifa, na kulitangaza kati ya visiwa vilivyo mbali,+ na kusema: “Yeye anayemtawanya Israeli atamkusanya pamoja,+ na hakika yeye atamweka kama mchungaji anavyoliweka kundi lake.+