Yeremia 50:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Kimbieni kutoka katikati ya Babiloni, na mwondoke katika nchi ya Wakaldayo,+ na muwe kama wanyama wanaoongoza mbele ya kundi.+ Ufunuo 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake,+ na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.
8 “Kimbieni kutoka katikati ya Babiloni, na mwondoke katika nchi ya Wakaldayo,+ na muwe kama wanyama wanaoongoza mbele ya kundi.+
4 Nami nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni ikisema: “Tokeni kwake, watu wangu,+ ikiwa hamtaki kushiriki pamoja naye dhambi zake,+ na ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.