3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+
2Na hawa ndio wana wa wilaya ya utawala+ waliotoka utekwani mwa wale waliohamishwa,+ ambao Nebukadneza mfalme wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni+ katika Babiloni na ambao baadaye walirudi+ Yerusalemu na Yuda,+ kila mmoja kwenye jiji lake mwenyewe;
6 Nami nitaweka jicho langu juu yao kwa njia nzuri,+ na hakika mimi nitawarudisha katika nchi hii.+ Nami nitawajenga, wala sitawabomoa; nami nitawapanda, wala sitawang’oa.+