Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 ili kulitimiza neno la Yehova kupitia kinywa cha Yeremia,+ mpaka nchi ilipokuwa imelipa sabato zake.+ Siku zote za kukaa ukiwa ilishika sabato, ili kutimiza miaka 70.+

  • Ezra 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Na katika mwaka wa kwanza wa Koreshi+ mfalme wa Uajemi, ili neno la Yehova kwa kinywa cha Yeremia+ litimizwe, Yehova aliiamsha+ roho ya Koreshi mfalme wa Uajemi, hivi kwamba akatangaza mwito+ katika utawala wake wote, na pia kwa maandishi,+ akisema:

  • Yeremia 27:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 ‘ “Vitapelekwa Babiloni+ navyo vitaendelea kuwa huko mpaka siku ile nitakapovikazia fikira,”+ asema Yehova. “Nami nitavileta na kuvirudisha mahali hapa.”’”+

  • Danieli 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 katika mwaka wa kwanza wa utawala wake mimi, Danieli, nilitambua kwa vitabu hesabu ya miaka ambayo kuhusu hiyo neno la Yehova lilimjia nabii Yeremia,+ ya kutimiza ukiwa wa Yerusalemu,+ yaani, miaka 70.+

  • Zekaria 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi malaika wa Yehova akajibu na kusema: “Ee Yehova wa majeshi, ni mpaka wakati gani utakosa kulionyesha rehema Yerusalemu na majiji ya Yuda,+ ambayo umeshutumu hii miaka 70?”+

  • Zekaria 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Waambie watu wote wa nchi na makuhani, ‘Mlipofunga+ na kuomboleza katika mwezi wa 5 na mwezi wa 7,+ mkafanya hivyo kwa miaka 70,+ je, kweli mlifunga kwa ajili yangu mimi?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki