Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na zile nguzo+ za shaba zilizokuwa katika nyumba ya Yehova, na yale mabehewa+ na ile bahari ya shaba,+ vitu vilivyokuwa katika nyumba ya Yehova, Wakaldayo wakavivunja vipande-vipande na kuichukua shaba yake kuipeleka Babiloni.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na vyombo+ vyote, vikubwa+ kwa vidogo, vya nyumba ya Mungu wa kweli na hazina za nyumba ya Yehova na hazina+ za mfalme+ na za wakuu wake, kila kitu akakipeleka Babiloni.

  • Yeremia 52:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao wakachukua makopo na sepetu+ na mikasi ya taa+ na mabakuli+ na vikombe na vyombo vyote vya shaba walivyokuwa wakitumia kuhudumu.+

  • Danieli 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi wakavileta ndani vile vyombo vya dhahabu ambavyo walikuwa wamevitoa katika hekalu la Mungu lililokuwa Yerusalemu, naye mfalme na wakuu wake, masuria wake na wake zake wadogo wakavinywea.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki