15 Kisha akatengeneza nguzo mbili za shaba,+ kila nguzo ikiwa na urefu wa mikono kumi na minane, na kamba ya urefu wa mikono kumi na miwili ingeweza kupima kuzunguka kila moja ya hizo nguzo mbili.+
12 Zile nguzo+ mbili na yale makombe ya mviringo+ juu ya zile nguzo mbili na zile kamba mbili za nyavu+ za kufunika yale makombe mawili ya mviringo yaliyokuwa juu ya zile nguzo