13 Na zile nguzo+ za shaba zilizokuwa katika nyumba ya Yehova, na yale mabehewa+ na ile bahari ya shaba,+ vitu vilivyokuwa katika nyumba ya Yehova, Wakaldayo wakavivunja vipande-vipande na kuichukua shaba yake kuipeleka Babiloni.+
12 Zile nguzo+ mbili na yale makombe ya mviringo+ juu ya zile nguzo mbili na zile kamba mbili za nyavu+ za kufunika yale makombe mawili ya mviringo yaliyokuwa juu ya zile nguzo