Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye akasimamisha nguzo+ za ukumbi+ wa hekalu. Basi akasimamisha nguzo ya kuume na kuiita jina Yakini, kisha akasimamisha nguzo ya kushoto na kuiita jina Boazi.

  • 2 Wafalme 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kila nguzo ilikuwa na urefu wa mikono kumi na minane,+ na lile kombe+ juu yake lilikuwa la shaba; na urefu wa lile kombe ulikuwa mikono mitatu; na kamba za nyavu na makomamanga+ kuzunguka pande zote juu ya lile kombe, hivyo vyote, vilikuwa shaba; na nguzo ya pili ilikuwa vivyo hivyo juu ya zile kamba za nyavu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha akatengeneza nguzo mbili+ mbele ya nyumba ile, urefu wa mikono 35, na kombe+ lililokuwa juu ya kila moja lilikuwa na urefu wa mikono 5.

  • Yeremia 52:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na kuhusu zile nguzo, kila nguzo ilikuwa na kimo cha mikono kumi na minane,+ na kamba ya urefu wa mikono kumi na miwili ingeweza kuizunguka;+ na unene wake ulikuwa upana wa vidole vinne, nayo ilikuwa na tundu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki