Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye akasimamisha zile nguzo mbele ya hekalu, moja upande wa kuume na nyingine upande wa kushoto, kisha ile ya upande wa kuume akaiita jina Yakini na jina la ile ya upande wa kushoto Boazi.+

  • Ufunuo 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “ ‘Yeye atakayeshinda—nitamfanya kuwa nguzo+ katika hekalu+ la Mungu wangu,+ naye hataondoka ndani yake tena kwa vyovyote, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu na jina la jiji la Mungu wangu, Yerusalemu+ jipya linaloshuka kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na lile jina langu jipya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki