22 Na lile kombe juu yake lilikuwa la shaba,+ na urefu wa lile kombe moja ulikuwa mikono mitano;+ na zile kamba za nyavu na makomamanga yaliyo juu ya lile kombe, kuzunguka pande zote,+ hivyo vyote vilikuwa vya shaba; na nguzo ya pili ilikuwa vivyo hivyo, pia yale makomamanga.+