15 Kisha akatengeneza nguzo mbili za shaba,+ kila nguzo ikiwa na urefu wa mikono kumi na minane, na kamba ya urefu wa mikono kumi na miwili ingeweza kupima kuzunguka kila moja ya hizo nguzo mbili.+
21 Na kuhusu zile nguzo, kila nguzo ilikuwa na kimo cha mikono kumi na minane,+ na kamba ya urefu wa mikono kumi na miwili ingeweza kuizunguka;+ na unene wake ulikuwa upana wa vidole vinne, nayo ilikuwa na tundu.