12 Nao ua mkuu kuuzunguka ulikuwa na mistari mitatu+ ya mawe yaliyochongwa na mstari mmoja wa nguzo za mierezi; na vivyo hivyo pia kwa ajili ya ua wa ndani+ wa nyumba+ ya Yehova, na kwa ajili ya ukumbi+ wa nyumba.
48 Naye akanileta ndani ya ukumbi wa nyumba, naye akapima nguzo ya kando ya ukumbi,+ mikono 5 upande huu na mikono 5 upande ule. Na upana wa lango ulikuwa mikono 3 upande huu na mikono 3 upande ule.