Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na ukumbi+ ulio mbele ya hekalu la nyumba ulikuwa na urefu wa mikono 20, mbele ya upana wa nyumba. Ulikuwa na kina cha mikono 10, mbele ya nyumba.

  • 1 Wafalme 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao ua mkuu kuuzunguka ulikuwa na mistari mitatu+ ya mawe yaliyochongwa na mstari mmoja wa nguzo za mierezi; na vivyo hivyo pia kwa ajili ya ua wa ndani+ wa nyumba+ ya Yehova, na kwa ajili ya ukumbi+ wa nyumba.

  • Ezekieli 40:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Naye akanileta ndani ya ukumbi wa nyumba, naye akapima nguzo ya kando ya ukumbi,+ mikono 5 upande huu na mikono 5 upande ule. Na upana wa lango ulikuwa mikono 3 upande huu na mikono 3 upande ule.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki