1 Wafalme 7:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 na beseni na mikasi ya taa+ na mabakuli+ na vikombe+ na vyetezo,+ vya dhahabu safi, na matundu kwa ajili ya milango+ ya nyumba ya ndani, yaani, pale Patakatifu Zaidi, na kwa ajili ya milango+ ya nyumba ya hekalu,+ ya dhahabu. 2 Wafalme 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na mkuu wa walinzi akachukua vyetezo na mabakuli yaliyokuwa ya dhahabu+ halisi na yale yaliyokuwa ya fedha halisi.+
50 na beseni na mikasi ya taa+ na mabakuli+ na vikombe+ na vyetezo,+ vya dhahabu safi, na matundu kwa ajili ya milango+ ya nyumba ya ndani, yaani, pale Patakatifu Zaidi, na kwa ajili ya milango+ ya nyumba ya hekalu,+ ya dhahabu.
15 Na mkuu wa walinzi akachukua vyetezo na mabakuli yaliyokuwa ya dhahabu+ halisi na yale yaliyokuwa ya fedha halisi.+