Mambo ya Walawi 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Naye atachukua chetezo+ kilichojaa makaa yanayowaka moto kutoka katika madhabahu+ mbele za Yehova, na mikono yake yote miwili+ ikiwa imejaa uvumba uliotiwa manukato,+ naye atavileta ndani ya pazia.+
12 “Naye atachukua chetezo+ kilichojaa makaa yanayowaka moto kutoka katika madhabahu+ mbele za Yehova, na mikono yake yote miwili+ ikiwa imejaa uvumba uliotiwa manukato,+ naye atavileta ndani ya pazia.+