2 Wafalme 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ila tu kuhusiana na nyumba ya Yehova hawakutengeneza beseni za fedha, mikasi ya taa,+ mabakuli,+ tarumbeta,+ chombo chochote cha dhahabu na chombo cha fedha kutokana na zile pesa zilizokuwa zikiletwa katika nyumba ya Yehova;+ Yeremia 52:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wakachukua makopo na sepetu+ na mikasi ya taa+ na mabakuli+ na vikombe na vyombo vyote vya shaba walivyokuwa wakitumia kuhudumu.+
13 Ila tu kuhusiana na nyumba ya Yehova hawakutengeneza beseni za fedha, mikasi ya taa,+ mabakuli,+ tarumbeta,+ chombo chochote cha dhahabu na chombo cha fedha kutokana na zile pesa zilizokuwa zikiletwa katika nyumba ya Yehova;+
18 Nao wakachukua makopo na sepetu+ na mikasi ya taa+ na mabakuli+ na vikombe na vyombo vyote vya shaba walivyokuwa wakitumia kuhudumu.+