2 Wafalme 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hata hivyo, hawakutumia pesa zozote zilizoletwa katika nyumba ya Yehova kutengeneza mabeseni ya fedha, mikasi ya kukatia tambi za taa, mabakuli, tarumbeta,+ au kitu chochote cha dhahabu au fedha kwa ajili ya nyumba ya Yehova.+
13 Hata hivyo, hawakutumia pesa zozote zilizoletwa katika nyumba ya Yehova kutengeneza mabeseni ya fedha, mikasi ya kukatia tambi za taa, mabakuli, tarumbeta,+ au kitu chochote cha dhahabu au fedha kwa ajili ya nyumba ya Yehova.+