- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 24:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        14 Na mara tu walipomaliza, wakaleta pesa zilizobaki mbele ya mfalme na Yehoyada, nao wakatengeneza vyombo vya nyumba ya Yehova, vyombo vya huduma+ na vya kutoa matoleo na vikombe+ na vyombo vya dhahabu+ na vya fedha; nao wakawa watoaji wa dhabihu za kuteketezwa+ katika nyumba ya Yehova kwa ukawaida siku zote za Yehoyada. 
 
-