16 Baada ya hilo akafanya kutokana na dhahabu safi vile vyombo vilivyo juu ya meza, sahani zake na vikombe vyake na mabakuli yake na mitungi yake iliyotumiwa kumimina matoleo ya kinywaji.+
84 Hili ndilo lililokuwa toleo la kuzindua+ madhabahu katika siku ya kutiwa kwake mafuta, kwa upande wa wakuu+ wa Israeli: sahani 12 za fedha, mabakuli+ 12 ya fedha, vikombe 12 vya dhahabu;