10 Sasa wakuu wakatoa toleo lao wakati wa kuzinduliwa+ kwa madhabahu katika siku ya kutiwa kwake mafuta, nao wakuu wakatoa toleo lao mbele ya madhabahu.
68 Na watu fulani walio vichwa+ vya nyumba za ukoo wa upande wa baba,+ walipokuja katika nyumba ya Yehova,+ iliyokuwa Yerusalemu,+ walitoa matoleo ya hiari+ kwa nyumba ya Mungu wa kweli, ili kuisimamisha mahali pake.+