Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 35:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ‘Kutoka katikati yenu toeni mchango kwa ajili ya Yehova.+ Kila mtu mwenye moyo wenye nia+ na aulete ukiwa mchango wa Yehova, yaani, dhahabu na fedha na shaba+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 za dhahabu kwa ajili ya kazi ya dhahabu, na za fedha kwa ajili ya kazi ya fedha na kwa ajili ya kazi yote ya kufanywa kwa mkono wa mafundi. Na ni nani anayejitolea kuujaza mkono wake leo kwa zawadi kwa ajili ya Yehova?”+

  • Nehemia 7:70
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 70 Na kulikuwa na sehemu fulani ya vichwa+ vya nyumba za ukoo wa upande wa baba+ waliotoa vitu kwa ajili ya kazi.+ Huyo Tirshatha+ mwenyewe alitoa kwa ajili ya hazina drakma 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, kanzu 530 za makuhani.+

  • 2 Wakorintho 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda+ wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki