5 ‘Kutoka katikati yenu toeni mchango kwa ajili ya Yehova.+ Kila mtu mwenye moyo wenye nia+ na aulete ukiwa mchango wa Yehova, yaani, dhahabu na fedha na shaba+
5 za dhahabu kwa ajili ya kazi ya dhahabu, na za fedha kwa ajili ya kazi ya fedha na kwa ajili ya kazi yote ya kufanywa kwa mkono wa mafundi. Na ni nani anayejitolea kuujaza mkono wake leo kwa zawadi kwa ajili ya Yehova?”+
70 Na kulikuwa na sehemu fulani ya vichwa+ vya nyumba za ukoo wa upande wa baba+ waliotoa vitu kwa ajili ya kazi.+ Huyo Tirshatha+ mwenyewe alitoa kwa ajili ya hazina drakma 1,000 za dhahabu, mabakuli 50, kanzu 530 za makuhani.+