Ezra 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na yeyote aliyebaki mahali popote anapokaa akiwa mgeni,+ watu wa mahali pake na wamsaidie kwa fedha na kwa dhahabu na kwa mali na kwa wanyama wa kufugwa pamoja na toleo la hiari+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa kweli, iliyokuwa Yerusalemu.’”
4 Na yeyote aliyebaki mahali popote anapokaa akiwa mgeni,+ watu wa mahali pake na wamsaidie kwa fedha na kwa dhahabu na kwa mali na kwa wanyama wa kufugwa pamoja na toleo la hiari+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa kweli, iliyokuwa Yerusalemu.’”