2 Wafalme 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+ Yeremia 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 nami nitawatawanya kati ya mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuyajua,+ nami nitatuma upanga uwafuate mpaka nitakapowaangamiza.’+
6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+
16 nami nitawatawanya kati ya mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuyajua,+ nami nitatuma upanga uwafuate mpaka nitakapowaangamiza.’+