21 Kisha wakaja, kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma,+ nao wakaleta, kila mtu ambaye roho yake ilimchochea, mchango wa Yehova kwa ajili ya kazi ya hema la mkutano na kwa ajili ya utumishi wake wote na kwa ajili ya yale mavazi matakatifu.
9 Na watu wakashangilia kutokana na matoleo yao ya hiari waliyotoa, kwa maana walimtolea Yehova matoleo ya hiari kwa moyo kamili;+ na hata Daudi mfalme akashangilia kwa shangwe kubwa.+
16 na fedha na dhahabu yote ambayo utapata katika wilaya yote ya utawala ya Babiloni pamoja na zawadi ya watu+ na makuhani ambao wanatoa kwa hiari kwa nyumba ya Mungu wao,+ iliyoko Yerusalemu;