Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 35:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kisha wakaja, kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma,+ nao wakaleta, kila mtu ambaye roho yake ilimchochea, mchango wa Yehova kwa ajili ya kazi ya hema la mkutano na kwa ajili ya utumishi wake wote na kwa ajili ya yale mavazi matakatifu.

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na watu wakashangilia kutokana na matoleo yao ya hiari waliyotoa, kwa maana walimtolea Yehova matoleo ya hiari kwa moyo kamili;+ na hata Daudi mfalme akashangilia kwa shangwe kubwa.+

  • Ezra 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na fedha na dhahabu yote ambayo utapata katika wilaya yote ya utawala ya Babiloni pamoja na zawadi ya watu+ na makuhani ambao wanatoa kwa hiari kwa nyumba ya Mungu wao,+ iliyoko Yerusalemu;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki