Kutoka 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na wana wa Israeli, kwamba wanichukulie mchango: Kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake unamchochea ninyi mtauchukua mchango wangu.+ Kutoka 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye moyo wa hekima ambaye Yehova alikuwa ametia hekima+ moyoni mwake, kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kwenda kufanya kazi.+ 2 Wakorintho 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana. 2 Wakorintho 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda+ wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+
2 “Sema na wana wa Israeli, kwamba wanichukulie mchango: Kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake unamchochea ninyi mtauchukua mchango wangu.+
2 Naye Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye moyo wa hekima ambaye Yehova alikuwa ametia hekima+ moyoni mwake, kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kwenda kufanya kazi.+
12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana.
7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda+ wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+