3 Na wewe mwenyewe utasema na wote wenye hekima walio na moyo ambao nimeujaza roho ya hekima,+ nao watayafanya mavazi ya Haruni ili kumtakasa, ili awe kuhani kwangu.+
6 Mimi nami, tazama! Ninamweka pamoja naye Oholiabu mwana wa Ahisamaki wa kabila la Dani,+ na katika moyo wa kila mwenye hekima ninaweka hekima, ili kwa kweli wapate kufanya kila kitu ambacho nimekuamuru:+