6 Mimi nami, tazama! Ninamweka pamoja naye Oholiabu mwana wa Ahisamaki wa kabila la Dani,+ na katika moyo wa kila mwenye hekima ninaweka hekima, ili kwa kweli wapate kufanya kila kitu ambacho nimekuamuru:+
36“Na Bezaleli atafanya kazi, pia Oholiabu+ na kila mtu mwenye moyo wa hekima ambaye Yehova amempa hekima+ na uelewaji+ wa mambo haya ili kujua jinsi ya kufanya kazi yote ya utumishi mtakatifu kulingana na yote ambayo Yehova ameamuru.”+