Kutoka 35:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma+ na kila mtu aliyechochewa na roho yake akaja na kumletea Yehova mchango ili utumiwe katika kazi ya hema la mkutano, yaani, katika utumishi wake wote, na kwa ajili ya mavazi matakatifu. Kutoka Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 35:21 w00 11/1 28-29 Kutoka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 35:21 Mnara wa Mlinzi,11/1/2000, kur. 28-294/1/1995, uku. 18
21 Basi kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma+ na kila mtu aliyechochewa na roho yake akaja na kumletea Yehova mchango ili utumiwe katika kazi ya hema la mkutano, yaani, katika utumishi wake wote, na kwa ajili ya mavazi matakatifu.