Kutoka 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waambie Waisraeli wanitolee mchango; mnapaswa kuchukua mchango wangu kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake unamchochea kuchanga.+ Kutoka 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha Musa akamwita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Yehova aliweka hekima moyoni mwake,+ kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kujitolea kufanya kazi.+ 2 Wakorintho 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana. 2 Wakorintho 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda* wala kwa kulazimishwa,+ kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+
2 “Waambie Waisraeli wanitolee mchango; mnapaswa kuchukua mchango wangu kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake unamchochea kuchanga.+
2 Kisha Musa akamwita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye Yehova aliweka hekima moyoni mwake,+ kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kujitolea kufanya kazi.+
12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana.
7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda* wala kwa kulazimishwa,+ kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+