29 “Usisite kutoa matoleo kutoka katika mazao yako mengi na kutoka kwenye mafuriko ya mashinikizo yako.*+ Unapaswa kunipa mzaliwa wa kwanza kati ya wanao.+
35 Nimewaonyesha ninyi katika mambo yote kwamba kwa kufanya kazi kwa bidii hivyo,+ ni lazima mwasaidie walio dhaifu, na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu, aliposema: ‘Kuna furaha zaidi katika kutoa+ kuliko ilivyo katika kupokea.’”