Kutoka 36:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye moyo wa hekima ambaye Yehova alikuwa ametia hekima+ moyoni mwake, kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kwenda kufanya kazi.+
2 Naye Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye moyo wa hekima ambaye Yehova alikuwa ametia hekima+ moyoni mwake, kila mtu ambaye moyo wake ulimsukuma kwenda kufanya kazi.+