Ezra 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na mkaaji mgeni yeyote,+ popote alipo, majirani zake* wamsaidie kwa kumpa fedha na dhahabu, mali na wanyama wa kufugwa, pamoja na toleo la hiari kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa kweli,+ iliyokuwa Yerusalemu.’”
4 Na mkaaji mgeni yeyote,+ popote alipo, majirani zake* wamsaidie kwa kumpa fedha na dhahabu, mali na wanyama wa kufugwa, pamoja na toleo la hiari kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa kweli,+ iliyokuwa Yerusalemu.’”