29 “Nawe utafanya sahani zake na vikombe vyake na mitungi yake na mabakuli yake watakayotumia katika kumimina matoleo ya kinywaji. Utavifanya kutokana na dhahabu safi.+
19 Na beseni+ na vyetezo na mabakuli na makopo na vinara vya taa+ na vikombe na mabakuli+ yaliyokuwa ya dhahabu halisi,+ na vile vilivyokuwa vya fedha halisi,+ yule mkuu wa walinzi akavichukua.+