16 Baada ya hilo akafanya kutokana na dhahabu safi vile vyombo vilivyo juu ya meza, sahani zake na vikombe vyake na mabakuli yake na mitungi yake iliyotumiwa kumimina matoleo ya kinywaji.+
7 “Nao watatandika kitambaa cha bluu juu ya meza+ ya mkate wa wonyesho, nao wataweka juu yake sahani+ na vikombe na mabakuli+ na mitungi ya toleo la kinywaji; na ule mkate+ wa daima utakaa juu yake.
50 na beseni na mikasi ya taa+ na mabakuli+ na vikombe+ na vyetezo,+ vya dhahabu safi, na matundu kwa ajili ya milango+ ya nyumba ya ndani, yaani, pale Patakatifu Zaidi, na kwa ajili ya milango+ ya nyumba ya hekalu,+ ya dhahabu.