29 “Nawe utafanya sahani zake na vikombe vyake na mitungi yake na mabakuli yake watakayotumia katika kumimina matoleo ya kinywaji. Utavifanya kutokana na dhahabu safi.+
86 vile vikombe+ 12 vya dhahabu vilivyojaa uvumba vikiwa shekeli 10 kila kikombe kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, dhahabu yote ya vikombe ikiwa shekeli 120;