Yeremia 52:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na zile nguzo za shaba+ za nyumba ya Yehova na yale mabehewa+ na ile bahari ya shaba+ iliyokuwa katika nyumba ya Yehova, Wakaldayo wakazivunja vipande-vipande na kuichukua shaba yake yote kuipeleka Babiloni.+
17 Na zile nguzo za shaba+ za nyumba ya Yehova na yale mabehewa+ na ile bahari ya shaba+ iliyokuwa katika nyumba ya Yehova, Wakaldayo wakazivunja vipande-vipande na kuichukua shaba yake yote kuipeleka Babiloni.+