15 Kisha akatengeneza nguzo mbili za shaba,+ kila nguzo ikiwa na urefu wa mikono kumi na minane, na kamba ya urefu wa mikono kumi na miwili ingeweza kupima kuzunguka kila moja ya hizo nguzo mbili.+
16 Kwa habari ya zile nguzo mbili, ile bahari moja na yale mabehewa ambayo Sulemani alikuwa ametengeneza kwa ajili ya nyumba ya Yehova, hapakuwa na namna ya kujua uzito wa shaba ya vyombo hivyo vyote.+
12 Zile nguzo+ mbili na yale makombe ya mviringo+ juu ya zile nguzo mbili na zile kamba mbili za nyavu+ za kufunika yale makombe mawili ya mviringo yaliyokuwa juu ya zile nguzo
19 “Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi kuhusu zile nguzo+ na kuhusu ile bahari+ na kuhusu yale mabehewa+ na kuhusu yale mabaki ya vyombo ambavyo vimebaki katika jiji hili,+