23 Naye akatengeneza bahari ya kuyeyushwa+ ya mikono 10 kutoka ukingo wake mmoja mpaka ukingo wake mwingine, iliyo mviringo pande zote; na kimo chake kilikuwa mikono 5, na kamba ya urefu wa mikono 30 ingeweza kuizunguka pande zote.+
13 Na zile nguzo+ za shaba zilizokuwa katika nyumba ya Yehova, na yale mabehewa+ na ile bahari ya shaba,+ vitu vilivyokuwa katika nyumba ya Yehova, Wakaldayo wakavivunja vipande-vipande na kuichukua shaba yake kuipeleka Babiloni.+