Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kisha akatengeneza nguzo mbili za shaba,+ kila nguzo ikiwa na urefu wa mikono kumi na minane, na kamba ya urefu wa mikono kumi na miwili ingeweza kupima kuzunguka kila moja ya hizo nguzo mbili.+

  • 2 Wafalme 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kila nguzo ilikuwa na urefu wa mikono kumi na minane,+ na lile kombe+ juu yake lilikuwa la shaba; na urefu wa lile kombe ulikuwa mikono mitatu; na kamba za nyavu na makomamanga+ kuzunguka pande zote juu ya lile kombe, hivyo vyote, vilikuwa shaba; na nguzo ya pili ilikuwa vivyo hivyo juu ya zile kamba za nyavu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Zile nguzo+ mbili na yale makombe ya mviringo+ juu ya zile nguzo mbili na zile kamba mbili za nyavu+ za kufunika yale makombe mawili ya mviringo yaliyokuwa juu ya zile nguzo

  • Yeremia 52:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na kuhusu zile nguzo, kila nguzo ilikuwa na kimo cha mikono kumi na minane,+ na kamba ya urefu wa mikono kumi na miwili ingeweza kuizunguka;+ na unene wake ulikuwa upana wa vidole vinne, nayo ilikuwa na tundu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki