Zaburi 74:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+ Zaburi 102:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wewe mwenyewe utasimama, utakuwa na rehema juu ya Sayuni,+Kwa maana ni majira ya kumwonyesha kibali,Kwa maana wakati uliowekwa umefika.+ Isaya 64:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiwe na ghadhabu kupindukia,+ Ee Yehova, wala usilikumbuke milele kosa letu.+ Tazama, sasa, tafadhali: sisi sote ni watu wako.+
10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+
13 Wewe mwenyewe utasimama, utakuwa na rehema juu ya Sayuni,+Kwa maana ni majira ya kumwonyesha kibali,Kwa maana wakati uliowekwa umefika.+
9 Usiwe na ghadhabu kupindukia,+ Ee Yehova, wala usilikumbuke milele kosa letu.+ Tazama, sasa, tafadhali: sisi sote ni watu wako.+