Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 51:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa nia yako njema utendee Sayuni vema;+

      Na ujenge kuta za Yerusalemu.+

  • Zaburi 69:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kwa maana Mungu mwenyewe ataokoa Sayuni+

      Naye atayajenga majiji ya Yuda;+

      Nao hakika watakaa humo na kuimiliki.+

  • Isaya 49:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Je, mke anaweza kumsahau mtoto wake anayenyonya hivi kwamba asimhurumie mwana wa tumbo lake?+ Hata hawa wanawake wanaweza kusahau,+ lakini mimi mwenyewe sitakusahau wewe.+

  • Isaya 60:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wageni kwa kweli watazijenga kuta zako,+ na wafalme wao wenyewe watakuhudumia;+ kwa maana nitakuwa nimekwisha kukupiga katika ghadhabu yangu,+ lakini katika nia yangu njema hakika nitakuwa nimekuonyesha rehema.+

  • Yeremia 31:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao hakika watakuja na kupiga vigelegele vya shangwe juu ya kilele cha Sayuni+ na kung’aa kwa sababu ya wema wa Yehova,+ kwa sababu ya nafaka na kwa sababu ya divai+ mpya na kwa sababu ya mafuta na kwa sababu ya watoto wa kundi na ng’ombe.+ Na nafsi yao itakuwa tu kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+ nao hawatakuwa dhaifu tena.”+

  • Zekaria 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Paaza sauti na kushangilia, Ee binti Sayuni;+ kwa maana mimi naja,+ nami nitakaa katikati yako,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki