32 Na mtu yeyote atasema nini kwa kuwajibu wajumbe+ wa taifa lile? Kwamba Yehova mwenyewe ameuweka msingi wa Sayuni,+ na kwake wenye kuteseka wa watu wake watapata kimbilio.
26 Yule anayelitimiza neno la mtumishi wake, na Yule anayelitekeleza kikamilifu shauri la wajumbe wake;+ Yule anayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Atakaliwa,’+ na kuhusu majiji ya Yuda, ‘Yatajengwa upya,+ nami nitapainua mahali pake palipofanywa ukiwa’;+