Zaburi 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana+Katika jiji la Mungu wetu,+ katika mlima wake mtakatifu.+ Zaburi 87:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 87 Msingi wake uko katika milima mitakatifu.+ Zaburi 102:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana hakika Yehova atajenga Sayuni;+Lazima ataonekana katika utukufu wake.+ Zaburi 132:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Yehova amechagua Sayuni;+Amepatamani pawe makao kwa ajili yake mwenyewe:+ Isaya 28:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaweka katika Sayuni+ jiwe+ kuwa msingi, jiwe lililojaribiwa,+ jiwe la pembeni+ lenye thamani la msingi imara.+ Yeyote anayeonyesha imani hataingiwa na wasiwasi.+
16 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaweka katika Sayuni+ jiwe+ kuwa msingi, jiwe lililojaribiwa,+ jiwe la pembeni+ lenye thamani la msingi imara.+ Yeyote anayeonyesha imani hataingiwa na wasiwasi.+